Kastamonu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kastamonu ni wilaya kuu ya Jimbo la Kastamonu huko nchini Uturuki. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, idadi ya wakazi wanaoishi katika wilaya hii ilikadiriwa kufikia kiasi cha 102,059 ambao wengine 64,606 wanaishi katikati ya mji huu wa Kastamonu.[1][2] Wilaya inachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 1,834,[3] na umelalia katika eneo la mapolomoko yenye mita 904. Wilaya hii ipo kusini mwa jimbo.

Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads