Kaunti ya Bungoma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaunti ya Bungoma ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.


Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,670,570 katika eneo la km2 3,023.9, msongamano ukiwa hivyo wa watu 552 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Bungoma.
Utawala
Kaunti ya Bungoma ina maeneo bunge yafuatayo[2]:
Remove ads
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Bumula 215,892
- Bungoma Central 177,748
- Bungoma East 114,548
- Bungoma North 121,317
- Bungoma South 287,765
- Cheptais 136,035
- Kimilili-Bungoma 162,038
- Mt. Elgon 78,873
- Bungoma West 119,875
- Tongaren 100,343
- Webuye West 152,515
- Mt. Elgon Forest 3,621
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads