Kaunti ya Migori
Wilaya ya Kenya From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaunti ya Migori ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.


Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,116,436 katika eneo la km2 2,613.5, msongamano ukiwa hivyo wa watu 427 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Migori.
Utawala
Kaunti ya Migori ina maeneo bunge yafuatayo[2]:
Remove ads
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Awendo 117,290
- Kuria East 96,872
- Kuria West 208,513
- Nyatike 176,162
- Rongo 124,587
- Suna East 122,674
- Suna West 128,890
- Uriri 141,448
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads