Kemikali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kemikali (pia: tindikali) ni dutu yenye tabia za kikemia za kudumu iliyoundwa na viwango maalumu vya elementi za kikemia. Elementi hizi haziwezi kutenganishwa bila kuvunja muungo wa kikemia.
Kemikali inaweza kupatikana kama
- elementi tupu, mfano sulfuri safi kando la volkeno
- kampaundi yaani msombo, mfano maji ambayo ni maungano ya hidrojeni na oksijeni
- aloi yaani muungano wa metali mbili au metali moja na dutu nyingine
- mchanganyiko wa dutu kama asidi hidrokloridi ambayo ni mmumunyo wa HCl na maji.
Kemikali zinazopatikana nyumbani hujumuisha maji, chumvi na klorini (buluu).
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads