Kialbania

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kialbania (kwa Kialbania shqip au kirefu gjuha shqipe) ni lugha ya pekee kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Kinatumiwa na watu milioni 5 hivi hasa Ulaya Kusini.

Ni lugha rasmi nchini Albania, Masedonia Kaskazini na Kosovo.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads