Kiamdang

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kiamdang (pia Kibiltine) ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Chad inayozungumzwa na Waamdang. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiamdang imehesabiwa kuwa watu 41,100. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiamdang iko katika kundi la Kifur.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiamdang kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads