Kichaa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kichaa
Remove ads

Kichaa (kwa Kiingereza: "insanity" ) ni wigo wa tabia fulani isiyo ya kawaida inayoambatana na matatizo ya akili.

Thumb
Alama inayotambulisha kichaa.

Kichaa ni ugonjwa unaowapata sana binadamu na wanyama, kwa mfano kichaa cha mbwa[1].

Kati ya sababu za ugonjwa huo kuna matumizi ya madawa ya kulevya na malaria kali iliyopanda kichwani.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads