Kideni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kideni ni moja kati ya lugha za Kijerumaniki, kinazungumzwa nchini Udeni, Visiwa vya Faroe, na sehemu kadhaa za Grinlandi na Ujerumani (Kusini mwa Schleswig). Idadi ya wasemaji wa lugha hii inakadiriwa kuwa ni milioni 5.5. Nchini Grinlandi na Kisiwani Faroe, lugha hii inatumika kama ya pili kitaifa. Kwa watu wa Udeni, au Wadeni, lugha hii inajulikana kama dansk.
"da" inaelekezwa hapa. Kwa matumizi mengine, tazama da (maana).

Remove ads
Mfano
Hapa kuna mifano miwili ya Kideni:
Remove ads
Viungo vya nje
- makala za OLAC kuhusu Kideni Ilihifadhiwa 22 Septemba 2015 kwenye Wayback Machine.
- lugha ya Kideni katika Glottolog
- lugha ya Kideni katika Ethnologue
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kideni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads