Kigabri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kigabri ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Chad inayozungumzwa na Wagabri. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kigabri imehesabiwa kuwa watu 34,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigabri iko katika kundi la Kichadiki.
Viungo vya nje
- lugha ya Kigabri kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kigabri Ilihifadhiwa 22 Septemba 2015 kwenye Wayback Machine.
- lugha ya Kigabri katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/gab
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kigabri kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads