Kikoromeo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kikoromeo
Remove ads

Kikoromeo (kutoka kitenzi "kukoroma"; kwa Kiingereza "Adam's apple" au "laryngeal prominence"; kwa Kilatini "prominentia laryngea") ni sehemu ya shingo ya binadamu ambayo inajitokeza, hasa katika wanaume[1][2].

Thumb
Kikoromeo cha mwanamume.
Thumb
Kikoromeo cha mwanamume.
Thumb
Kikoromeo kwa mbele.

Picha nyingine

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads