Kikroatia

lugha From Wikipedia, the free encyclopedia

Kikroatia
Remove ads

Kikroatia (kwa Kikroatia: hrvatski jezik; kwa Kiingereza: Croatian language) ni tawi la Kiserbokroatia, moja kati ya lugha za Kislavoni, za jamii ya Lugha za Kihindi-Kiulaya, linalozungumzwa zaidi katika nchi ya Kroatia.

Maelezo zaidi Lugha ya Kikroatia, Kama lugha rasmi: ...

Kikroatia kilikuwa lugha rasmi ya Yugoslavia pamoja na Kislovenia, Kiserbia na Kimasedonia.

Thumb
Kikroatia "Baška" 1100.
Thumb
Kikroatia 1380-1400.

Kufuatana na tofauti za utamaduni na madhehebu, Kiserbokroatia kinaandikwa kwa alfabeti ya Kilatini upande wa Magharibi katika eneo la Kroatia na kwa alfabeti ya Kisirili upande wa Mashariki katika eneo la Serbia.

Thumb

Ukweli wa haraka

.

Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikroatia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads