Kikwamba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kikwamba (kutoka kitenzi kwamba, chenye maana ya kusema au kunena) ni aina ya shairi (bahari) ambalo neno la kipande cha kwanza katika kila mshororo hujirudiarudia katika ubeti [1], kwa mfano:
Kusema yanilazimu, daima sitonyamaza
Kusema yanilazimu, kimya kina nichukiza
Kusema yanilazimu, kipo cha kuwaeleza
Kama kusema ugonjwa, basi niache niumwe.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads