Kikwamba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kikwamba (kutoka kitenzi kwamba, chenye maana ya kusema au kunena) ni aina ya shairi (bahari) ambalo neno la kipande cha kwanza katika kila mshororo hujirudiarudia katika ubeti [1], kwa mfano:

Kusema yanilazimu, daima sitonyamaza

Kusema yanilazimu, kimya kina nichukiza

Kusema yanilazimu, kipo cha kuwaeleza

Kama kusema ugonjwa, basi niache niumwe.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads