Kimaninkakan-Magharibi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kimaninkakan-Magharibi ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Senegal, Mali na Gambia inayozungumzwa na Wamalinke. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kimaninkakan-Magharibi nchini Senegal imehesabiwa kuwa watu 422,000. Pia kuna wasemaji 100,000 nchini Mali na 3300 nchini Gambia. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimaninkakan-Magharibi iko katika kundi la Kimande.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimaninkakan-Magharibi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads