Kinyamadege

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kinyamadege
Remove ads

Kinyamadege au domobata ni mamalia wa Australia aliye na mdomo wa bata, miguu yenye utando kati vidole kama ile ya fisi-maji na mkia kama biva. Ni moja ya spishi tano za mamalia wanaotaga mayai, lakini ananyonyesha watoto wake kama mamalia wote wengine.

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinyamadege kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads