Kioo cha rangi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kioo cha rangi
Remove ads

Kioo cha rangi (kwa Kiingereza "Stained glass") ni aina ya sanaa inayotumia rangi mbalimbali za kioo kuonyesha sura maalumu au kupendeza tu kwa uzuri.

Thumb
Matukio mbalimbali ya maisha ya Yesu katika kanisa kuu la Milano, Italia.
Thumb
Mfalme Daudi katika kanisa kuu la Augsburg, Ujerumani, 1130 hivi.
Thumb
Katika kuba la basilika la Santa Maria degli Angeli e dei Martiri, Roma, Italia.
Thumb
Kazi za Arnaldo Dell'Ira, 1930 hivi.

Kwa kawaida kinatumika katika madirisha, hasa ya makanisa, lakini asili yake ni Dola la Roma katika karne ya 1.

Remove ads

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads