Kipali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kipali ni lugha ya Kihindi-Kiulaya iliyotumika nchini Uhindi. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipali iko katika kundi la Kiaryan.

Ukweli wa haraka Kipali Pāḷi, Lugha ...
Remove ads

Siku hizi hakuna watu ambao huitumia kama lugha yao ya kwanza lakini bado inafundishwa, hasa huko Sri Lanka, kwa vile ni lugha ya fasihi andishi ya Ubuddha.

Remove ads

Tazama Pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipali kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Ukweli wa haraka
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads