Kipali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kipali ni lugha ya Kihindi-Kiulaya iliyotumika nchini Uhindi. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipali iko katika kundi la Kiaryan.
Remove ads
Siku hizi hakuna watu ambao huitumia kama lugha yao ya kwanza lakini bado inafundishwa, hasa huko Sri Lanka, kwa vile ni lugha ya fasihi andishi ya Ubuddha.
Remove ads
Tazama Pia
Viungo vya nje
- lugha ya Kipali kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kipali
- lugha ya Kipali katika Glottolog
- lugha ya Kipali kwenye Ethnologue
- Mangala Sutta. Kipali-Kiswahili
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kipali kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads