Tipitaka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tipitaka
Remove ads

Tipitaka (kipali: Tipiṭaka) ni kitabu kitakatifu cha Ubuddha katika lugha ya Kipali. Jina hutafsiriwa kama vikapu vitatu.

Thumb
Tipitaka

Maudhui

Tipitaka ina sehemu tatu. Ya kwanza inahusu nidhamu ya kimonaki. Sehemu ya pili ina mahubiri ya Gautama Buddha. Sehemu ya tatu ina metafizikia changamano.

  • Vinayapitaka
  • Suttapitaka
  • Abhidhammapitaka

Tazama Pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tipitaka kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads