Kitara (silaha)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitara (kwa Kiing. sabre au saber) ni silaha ya kukata. Ni aina ya upanga lakini nyepesi zaidi. Ubapa wake umepindika na kwa kawaida ni mwembamba zaidi. Una makali moja tu[1]. Zamani ilikuwa silaha ya askari farasi haswa.


Baadaye ilitumiwa pia kwa askari wa miguu. Tangu kupatikana kwa bunduki, ilitumiwa zaidi kama silaha ya mapambo ya afisa wa cheo cha juu jeshini.
Aina nyembamba za kitara hutumiwa leo kama vifaa vya riadha ambapo wanariadha wanapigana bila kujeruhiana (fencing).[2]
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads