Kitara (silaha)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kitara (silaha)
Remove ads

Kitara (kwa Kiing. sabre au saber) ni silaha ya kukata. Ni aina ya upanga lakini nyepesi zaidi. Ubapa wake umepindika na kwa kawaida ni mwembamba zaidi. Una makali moja tu[1]. Zamani ilikuwa silaha ya askari farasi haswa.

Thumb
Kitara che kijeshi kutoka Ufaransa
Thumb
Kitara cha riadha

Baadaye ilitumiwa pia kwa askari wa miguu. Tangu kupatikana kwa bunduki, ilitumiwa zaidi kama silaha ya mapambo ya afisa wa cheo cha juu jeshini.

Aina nyembamba za kitara hutumiwa leo kama vifaa vya riadha ambapo wanariadha wanapigana bila kujeruhiana (fencing).[2]

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads