Koluthi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Koluthi (alifariki karne ya 3) alikuwa tabibu Mkristo wa Misri.

Baada ya kufungwa miaka mitatu kwa sababu ya imani yake, aliuawa kwa kukatwa kichwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads