Kos
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kos (kwa Kigiriki: Κως, Kos) ni kisiwa cha Ugiriki kilichopo kusini mwa Bahari ya Aegean.


Kina wakazi 33,387 (2011) wanaotegemea zaidi utalii.
Kinatajwa na Biblia ya Kikristo (Matendo ya Mitume) kwa kuwa mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, alipitia huko.
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads