Kos

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kos
Remove ads

Kos (kwa Kigiriki: Κως, Kos) ni kisiwa cha Ugiriki kilichopo kusini mwa Bahari ya Aegean.

Thumb
Maghofu ya ukumbi wa michezo.
Thumb
Magofu ya Asclepeion

Kina wakazi 33,387 (2011) wanaotegemea zaidi utalii.

Kinatajwa na Biblia ya Kikristo (Matendo ya Mitume) kwa kuwa mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, alipitia huko.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads