Kwikwi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kwikwi (pia: chechevu) ni mkazo wa ghafla na usio wa hiari wa musuli wa kiwambo; mkazo huo unaoweza ukajirudiarudia mara kadhaa kwa dakika unafanya pumzi kutokea kinywani na sauti ya kugugumia kutokana na hewa kuingia kwenye umio[1].

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads