Wilaya ya Kyela

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Kyela
Remove ads

Wilaya ya Kyela ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Mbeya.

Thumb
Mahali pa Kyela (kijani cheusi) katika mkoa wa Mbeya.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 174,470 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 266,426[2].

Makao makuu yapo Kyela Mjini.

Wilaya hiyo ni maarufu kwa kilimo cha kokoa ambayo ndiyo zao la biashara, lakini mpunga na mahindi pia vinalimwa.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads