Lava

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lava
Remove ads

Kwa matumizi mengine ya jina hili angalia lava (volkeno)

Thumb
Lava wa kipepeo Papilio xuthus.

Lava (kutoka neno la Kiingereza larva ambalo lina asili ya Kilatini; pia bombwe) ni mtoto wa mdudu au wa mmojawapo wa invertebrata, amfibia au samaki katika hatua za awali za ukuaji wake.

Lava wa wadudu kadhaa wana majina ya pekee:

Kuna pia amfibia wanaopita hali ya lava. [[Ndubwi au kiluwiluwi ni lava wa chura.

Lava wa spishi mbalimbali huendelea kupitia hali ya pupa kabla ya kuendelea katika ngazi ya mwisho wa mabadiliko ya maumbile metafofosi.


Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads