Visiwa vya Lerins
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Visiwa vya Lerins ni funguvisiwa la Ufaransa katika Bahari ya Kati.


Ni maarufu katika historia ya Kanisa kutokana na monasteri iliyolea wamonaki wengi waliopata kuwa maaskofu watakatifu, kuanzia mwanzilishi wake, Honorati wa Arles.
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Lerins kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads