Li Bai

From Wikipedia, the free encyclopedia

Li Bai
Remove ads

Li Bai (mnamo 701-762) alikuwa mshairi nchini China wakati wa nasaba ya Tang. Mara nyingi hutajwa kama mmoja wa washairi wakubwa wa China. Zaidi ya mashairi yake 1,000 yamehifadhiwa.

Thumb
Uchoraji wa Li Bai
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads