Li Bai
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Li Bai (mnamo 701-762) alikuwa mshairi nchini China wakati wa nasaba ya Tang. Mara nyingi hutajwa kama mmoja wa washairi wakubwa wa China. Zaidi ya mashairi yake 1,000 yamehifadhiwa.

Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads