Liu Xiaobo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Liu Xiaobo
Remove ads

Liu Xiaobo (28 Desemba 1955 - 13 Julai 2017) alikuwa mwandishi, mwanaharakati wa haki za binadamu, mwanafalsafa wa China aliyeshinda Tuzo ya Nobel ya Amani.

Thumb
Picha ya Liu Xiaobo
Thumb

Alitoa wito wa mageuzi ya kisiasa na alihusika katika kampeni za kumaliza utawala wa chama cha kikomunisti nchini China.

Wakati mwingine hujulikana kama "Nelson Mandela wa China". Alifungwa kifungo cha kisiasa huko Jinzhou, Liaoning. Mnamo 26 Juni 2017, alipewa matibabu baada ya kugunduliwa ana saratani ya ini na alikufa tarehe 13 Julai 2017.[1]

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads