Lombok

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lombok
Remove ads


Lombok ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa mashariki wa kisiwa cha Bali na upande wa magharibi wa kisiwa cha Sumbawa. Eneo la kisiwa ni 4514 km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Mataram. Mwaka wa 2014 idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 3,311,000.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Thumb
Fukwe za Kisiwa Lombok
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads