Lordi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lordi ni bendi ya muziki wa hard rock/heavy metal kutoka mjini Helsinki, Finland. Wazo la kubuni jina la Lordi lilitolewa mnamo mwaka wa 1992, ingawa bendi ilikuwa haijaanzishwa hadi ilipokuja kuanzishwa rasmi mnamo mwaka wa 1996 na Tomi Putaansuu (maarufu kama "Mr. Lordi")[1] wa Rovaniemi, Finland.
Wanachama wa Lordi wanaeleweka kwa jinsi wanavyojieleza kwa mavazi ya mijitu ya kutisha wakati wanapofanya maonyesho yao au hata video zao. Hivyo Lordi hujulikana pia kwa jina la "The Finnish Monsters" na "The Monsters of Finland".
Remove ads
Siku za mwanzo
Mwanzoni mwa miaka ya 1990, Putaansuu alikuwa akicheza katika bendi ndogo ya mjini Rovaniemi. Aliondoka bendini kwa kufuatia wanachama wengine wa katika bendi hawakubaliana na uanzishaji wa muziki wakiwa ukumbini hasa kwa kuingiliana na vipengele vya staili ya bendi ya KISS. Putaansuu akaanza kutengeneza muziki wa demo chini ya jina la Lordi kunako mwaka wa 1991 na kuendelea kufanya hivyo kwa miaka kadhaa ya usoni. Mnamo mwaka wa 1995 ametengeneza wimbo wa "Inferno" na muziki wa video kwa ajili mradi fulani wa shule. Video haikutolewa kwa kufuatia Putaansuu hakuvaa kinyago kwenye video hiyo ndiyo sababu iliyopelekea video isitolewe.
Baada ya "Inferno", Putaansuu akaota. Katika ndoto hiyo, ilimwonyesha yeye akiwa akiwa kwenye onyesho na kuna kiunzi cha mifupa kinacheza juu ya jukwaa. Alipoamka, akaelewa kwamba Lordi inapaswa kuwa bendi ya muziki wa Heavy metal iliojawa na vizuka. Lile jitu la kutisha alioiona kwenye ndoto hatimaye akaja kuwa mpiga gita wao Kalma.
Remove ads
Diskografia
Studio Albamu
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads