Lugha za Kiniloti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lugha za Kiniloti ni familia ya lugha za Sudan Mashariki zinazotumika na Waniloti kati ya Sudan na Tanzania. Imegawanyika katika makundi manne:
- Lugha za Niloti za Mashariki kama vile Kiturkana na Kimasai
- Lugha za Niloti za Kusini kama vile Kikalenjin na Kidatooga
- Lugha za Niloti za Magharibi kama vile Kijaluo na Kidinka
- Lugha za Burun

Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads