Waniloti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waniloti
Remove ads

Waniloti ni watu wenye asili ya bonde la mto Nile[1] ambao wanatumia lugha za Kiniloti, kama vile Wajaluo, Wasara, Wamasai, Wakalenjin, Wadinka, Wanuer, Washilluk, Waateker n.k.

Thumb
Wanaume wa Kiniloti wakisherehekea makubaliano ya amani huko Kapoeta, Sudan Kusini.
Thumb
Rais Mniloti (Mdinka) John Garang wa Sudan Kusini kati ya wafuasi wake.
Thumb
Mniloti Lornah Kiplagat, mmojawapo kati ya mabingwa wa mbio za masafa marefu.

Wanajulikana kwa urefu na weusi wao.

Pamoja na kuwa wengi kati ya wakazi wa Sudan Kusini, wanapatikana pia Ethiopia, Uganda, Kenya na Tanzania[2][3].

Waserer wa Afrika Magharibi pia wana asili hiyo.

Upande wa dini, siku hizi walio wengi wanafuata Ukristo, wakizidi kuacha Dini asilia za Kiafrika.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads