Lupa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lupa (pia: Lupatingatinga) ni kata ya Wilaya ya Chunya katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 15,428 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 12,835 [2] walioishi humo.
Msimbo wa posta ni 53822.
Mazao ya biashara ni tumbaku.
Mazao ya chakula ni mahindi, karanga na maharage.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads