Lusiani, Masimiani na Juliani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lusiani, Masimiani na Juliani
Remove ads

Lusiani, Masimiani na Juliani (walifariki 290 hivi) walikuwa wamisionari kutoka Roma waliotumwa katikati ya karne ya 3 kuinjilisha eneo la Beauvais, katika Galia (leo Ufaransa).

Thumb
Mt. Lusiani, askofu wa Beauvais.

Huko walifia dini ya Ukristo wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Martyrologium Romanum inataja tarehe 8 Januari kwa sikukuu yao.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads