Chuo cha Teknolojia cha Massachusetts
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chuo cha Teknolojia cha Massachusetts (Massachusetts Institute of Technology MIT) ni chuo maarufu nchini Marekani kilichopo kwenye mji wa Cambridge karibu na Boston katika mashariki-kaskazini ya nchi. MIT ina vyuo sita ndani yake na idara 32.[1] Mkazo wake ni utafiti wa sayansi na teknolojia.

Wanavyuo wa MIT wamepokea tuzo nyingi pamoja na tuzo za Nobel 63.[2][3].
Remove ads
Viungo vya Nje
- MIT Tovuti rasmi ya MIT
- MyMIT Ukurasa wa kupokea wanafunzi
- MIT Alumni Association
Vyanzo
- MIT OpenCourseWare, Free online publication of nearly all MIT course materials
- The Tech Ilihifadhiwa 13 Septemba 2008 kwenye Wayback Machine., student newspaper, the world's first newspaper on the web
- Tech Talk, MIT's official newspaper
- Technology Review, alumni magazine
- MIT Press, university press & publisher
Ramani
- MIT Maps Ilihifadhiwa 5 Desemba 2006 kwenye Wayback Machine.
- Early Maps of both the Boston and Cambridge Campuses Ilihifadhiwa 6 Mei 2010 kwenye Wayback Machine. maintained by MIT's Institute Archives & Special Collections
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads