MV Bukoba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza[1].
Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza.[2] Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894[3].
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads