Madrasa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Madrasa (kutoka مدرسة, madrasah, neno la Kiarabu lenye maana ya shule, chuo au chuo kikuu [1]) katika Kiswahili ni mahali panapotolewa mafunzo ya Kurani kwa watoto wa Kiislamu. Mara nyingi yanapatikana karibu na mskiti.

Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads