Madrasa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Madrasa
Remove ads

Madrasa (kutoka مدرسة‎, madrasah, neno la Kiarabu lenye maana ya shule, chuo au chuo kikuu [1]) katika Kiswahili ni mahali panapotolewa mafunzo ya Kurani kwa watoto wa Kiislamu. Mara nyingi yanapatikana karibu na mskiti.

Thumb
Madrasa

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads