Gofu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kuhusu mchezo angalia Gofu (michezo)

Gofu (pia ghofu; kutoka Kiarabu قف quff) ni namna ya kumtaja mtu au kitu kisicho katika hali zuri, kama mtu aliyekonda mno.[1]
Mara nyingi magofu yanataja sehemu ambako mabaki ya majengo ya zamani yanaonekana, kama vile magofu ya Gedi, magofu ya Kilwa Kisiwani.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads