Majiranukta ya anga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Majiranukta ni namna ya kuonyesha nafasi. Kila majiranukta ni kipimo kinachopimwa kutoka mwanzo wa mstari fulani, inayoitwa mhimili wa majiranukta. Katika astronomia, kuna mifumo minne ya msingi ya majiranukta za astronomia. Mifumo hii ni mfumo wa majiranukta wa ikweta, mfumo wa majiranukta wa Altazimuth, mfumo wa majiranukta wa mbingu au wa jua na mfumo wa majiranukta wa galactic.[1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads