Makgatho Mandela

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Makgatho Lewanika Mandela (26 Juni 1950 - 6 Januari 2005) alikuwa mtoto wa Nelson Mandela kutoka kwa mke wake wa kwanza Evelyn Mase. Yeye ndiye baba wa Ndaba Mandela.

Alifariki kwa Ukimwi mnamo 6 Januari 2005 huko Johannesburg.

Familia

Alikuwa ameoa mara mbili. Mkewe wa kwanza alikuwa Rose Rayne Perry (baadaye aliitwa Nolusapho). Mkewe wa pili alikuwa Zondi. Alikuwa na watoto wa kiume wanne. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads