Manfred Nowak

From Wikipedia, the free encyclopedia

Manfred Nowak
Remove ads

Manfred Nowak (26 Juni 1950,huko Bad Aussee) ni mtaalamu wa haki za binadamu wa Austria, ambaye aliwahi kuwa ripota maalum wa umoja wa mataifa kuhusu mateso mnamo mwaka 2004 hadi 2010. [1] [2] [3]

Thumb
Nowak Katika semina ya kimataifa ya Salzburg 2007

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads