Singida (mji)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Singida (mji)
Remove ads

Singida ni manisipaa nchini Tanzania ambayo ni makao makuu ya Mkoa wa Singida na ina msimbo wa posta 43100.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Eneo lake ni wilaya ya Singida Mjini.

Katika sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 150,379 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 232,459 [2].

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads