Wilaya ya Manouba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wilaya ya Manouba ni kati ya wilaya 24 za Tunisia.

Inapatikana katika mkoa wa Kaskazini Mashariki ukiwa na wakazi 379,158 (2014[1]) katika eneo la kilomita mraba 1,137, msongamano ukiwa wa watu 333.79 kwa kilomita mraba.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads