Mapenzi ya Mungu (filamu)

Filamu ya Kitanzania ya mwaka 2014 From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mapenzi ya Mungu ni filamu ya Kitanzania iliyotolewa mwaka 2014[1].

Mtayarishaji mkuu ni Elizabeth Michael na imeongozwa na Alex Wasponga. Washiriki wakuu ni Elizabeth Michael, Linah Sanga, and Florah Mtegoha.

Washiriki

  • Elizabeth Michael kama Shikana
  • Linah Sanga kama Neema
  • Florah Mtegoha
  • Musa Yusuph kama Kitale

Uandaaji

Mandhari ya filamu hii ni Dar es Salaam Tanzania. Kampuni iliyoandaa ni Uwezo Production.

Kuachiwa

  • Trela rasmi ya Mapenzi Ya Mungu iliwekwa katika chaneli ya YouTube ya Proin. Filamu hii iliwekwa sokoni rasmi tarehe 27 Oktoba 2014 kwa mfumo wa DVD na mtandaoni.[2]
  • Filamu ya Mapenzi ya Mungu ilioneshwa katika siku ya filamu ya Zanzibar na iliteuliwa katika mashindano ya Zuku Bongo Movies Awards[3]

Tuzo na Uteuzi

Maelezo zaidi Mwaka, Tukio ...
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads