Mardin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mardin
Remove ads

Mardin (Kisyriaki:ܡܶܪܕܺܝܢ; inamaana ya "maboma") ni mji uliopo mjini kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Mardin, unajulikana sana kwa ujenzi wake wa staili ya Kiarabu, na maeneo yake ya milima ya mawe inayoitazama Syria kwa upande wa kaskazini.[1] Mji wa Mardin una wakazi mchanganyiko, Waturuki, Wasyria, Waarabu na Wakurdi ambao wote wanawakilisha idadi kubwa ya watu.[2] Pia kuna idadi kiasi ya Waarmenia katika mji huu. Takriban watu 705,098 wanaoishi mjini hapa.

Thumb
Mji wa Mardin
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads

Maelezo

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads