Marko mkaapweke (Libya)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Marko mkaapweke (Libya) ni kati ya Wakristo wa Libya walioishi vizuri imani yao kwa kutawa.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Machi.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads