Mashindano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mashindano (kutoka kitenzi kushinda; kwa Kiingereza: competition) ni neno la Kiswahili lenye maana ya mapambano au mchuano baina ya sehemu mbili au zaidi katika nyanja mbalimbali, kama vile michezo, elimu, fasihi, upishi, ambapo kila upande unajaribu kufikia lengo fulani au kushinda.[1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads