Mazinguo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mazinguo
Remove ads

Mazinguo (kutoka kitenzi kuzingua, kinyume cha kuzinga; pia: kupunga; kwa Kiingereza: exorcism kutoka Kigiriki: ἐξορκισμός, uapisho) ni dua za kuondoa pepo au viumbe wa kiroho wanaofikiriwa kuleta madhara kwa binadamu au mazingira yake[1].

Thumb
Yesu akipunga pepo bubu kadiri ya Gustav Doré, 1865.

Vitendo vya namna hiyo vinafanyika toka kale katika dini mbalimbali.

Mtu anayetoa huduma hiyo anaitwa mzinguaji. Katika historia baadhi ya watu wa namna hiyo walipata kuwa maarufu sana, kama vile Yesu.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads