Mbaya (mmea)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mbaya (Rottboellia cochinchinensis) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Kama jina lake linaashiria nyasi hili ni mmea msumbufu: ni gugu baya sana mashambani na pia nywele zake kama sindano zinavunjika zikidunga ngozi na zinasababisha maambukizo machungu. Spishi inatoka Vietnam kwa asili lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika nchi zote za tropiki.
Remove ads
Viungo vya nje
Picha
- Majani na masuke
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads