Mbaya (mmea)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbaya (mmea)
Remove ads

Mbaya (Rottboellia cochinchinensis) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Kama jina lake linaashiria nyasi hili ni mmea msumbufu: ni gugu baya sana mashambani na pia nywele zake kama sindano zinavunjika zikidunga ngozi na zinasababisha maambukizo machungu. Spishi inatoka Vietnam kwa asili lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika nchi zote za tropiki.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Viungo vya nje

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads