Nusufamilia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nusufamilia (kwa Kilatini: subfamilia, wingi subfamiliae) katika uainishaji wa kisayansi ni ngazi ya kati chini ya familia lakini juu ya jenasi. Majina sanifu ya kundi hilo yanaishia "-oideae" katika mimea,[1] na "-inae" katika wanyama.[2]
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads