Mbuni (mmea)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbuni (mmea)
Remove ads

Mibuni (Coffea spp.) ni miti au vichaka ambayo matunda yao (buni) huchomwa na kusagwa ili kutengeneza kahawa.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Spishi zinazokuzwa sana ni Mbuni Arabu (Coffea arabica) na Mbuni imara (Coffea canephora). Asili ya spishi ya kwanza ni milima ya Ethiopia na Yemen na asili ya ile ya pili ni Ethiopia.

Inaaminika kuwa asili ya kuchoma buni ni nchini Ethiopia.[1]

Remove ads

Picha

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads