Meroë

From Wikipedia, the free encyclopedia

Meroë
Remove ads

Meroë (kwa Kimeroe: Medewi au Bedewi) ni jina la mji wa kale. Mabaki ya majengo yake yanapatikana kwenye ukingo wa mashariki wa mto Nile karibu kilomita 6 kaskazini mashariki mwa Kabushiya karibu na Shendi, nchini Sudan. Meroe iko mnamo kilomita 200 kaskazini mashariki mwa Khartoum kando ya barabara kuu kutoka Khartoum kuelekea Atbara. Karibu kuna vijiji vichache ambavyo vinaitwa Bagrawiyah.

Thumb
Meroe ni kivutio cha kiutamaduni nchini Sudan. Kati ya piramidi zilizopo, nyingi ni maghofu.

Meroë ilikuwa mji mkuu wa Ufalme wa Kushi kwa karne kadhaa. [1]

Remove ads

Urithi wa Dunia

Thumb
A modern satellite view of the region of Meroe (October 2020).

Tangu Juni 2011 eneo la Meroe limeandikishwa katika orodha ya UNESCO inayotaja "Urithi wa Dunia.[2]

Meroe inajulikana kwa piramidi zake nyingi. Piramidi hizo si kubwa kama zile za Gizah katika Misri lakini idadi ni kubwa, kwa jumla zilikuwa zaidi ya 200.

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads